Tunazo njia mbili za kujifunzia:
Mwanafunzi husoma bila malipo na kwa njia ya mtandao kwa muda wa mwaka mmoja, akisoma masomo 12 ya Kiislamu yaliyogawanywa katika mihula miwili ya masomo. Mwisho wa masomo, endapo atafaulu masomo yote, atastahiki cheti kinachotambuliwa rasmi kutoka Africa Academy.
Hizi ni kozi fupi, za bure na za mtandaoni katika mada za Kiislamu na kiutamaduni zinazowahusu Waislamu wote.
Kozi hizi zinapatikana muda wote wa mwaka, na mwishoni mwa kila kozi kuna mtihani, endapo mwanafunzi akifaulu, hupata cheti cha kozi
Idadi ya vyeti
Idadi ya nchi
Washiriki wote
Idadi ya wanaume
Idadi ya wanawake
Sheikh Ally Nassor
Sheikh Hassan Muhammadyn
Sheikh Shamsi Elmi
Sheikh Muharam Mwaita
Sheikh Salim Qahtwaan
Sheikh Shahid Mohammed
Akademia ya kwanza ya kufundisha Elimu ya Kisheria ya Kiislamu bila malipo na kwa njia ya mtandao kwa lugha ya Kiswahili.
Tufuatilie kwenye Runinga ya Afrika TV kupitia masafa yafuatayo:
Ya Kwanza – Nilesat 11554 V – 27500
Ya Pili – Eutelsat 7B 12604 V
Ya Tatu – Eutelsat 16A 10804 – S/R: 30000
© 2025 Swahili | Africa Academy
Wasiliana nasi kwa WhatsApp.